Wananchi wakiwa katika eneo la barabara ya kwenda Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba wakiliagalia gari lenye namba za usajili Z990 GX, iliopata ajali katika eneo hilo wakati ikielekea Uwanja wa Ndege na kupata ajali hiyo kwa kupinduka na abiria wa ajali hiyo wamejeruhiwa na kupata matibabu katika hospitali ya Chakechake, hakuna mtu aleyefariki katika ajali hiyo.Picha na Omar Mohammed,Pemba)
MADINI YA ALMASI YENYE THAMANI YA TSH 1.7 BILIONI YAKAMATWA YAKITOROSHWA
UWANJA WA NDEGE MWANZA
-
▪️Waziri Mavunde awapongeza RC Mtanda,Kamati ya Usalama,Uwanja wa Ndege na
Kikosi kazi Madini
▪️Aelekeza uchunguzi zaidi kubaini mtandao wote wa wahusik...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment