Habari za Punde

Ajali ya Gari Kisiwani Pemba

Wananchi wakiwa katika eneo la barabara ya kwenda Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba wakiliagalia gari lenye namba za usajili Z990 GX, iliopata ajali katika eneo hilo wakati ikielekea Uwanja wa Ndege na kupata ajali hiyo kwa kupinduka na abiria wa ajali hiyo wamejeruhiwa na kupata matibabu katika hospitali ya Chakechake, hakuna mtu aleyefariki katika ajali hiyo.Picha na Omar Mohammed,Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.