Habari za Punde

Home GYM Wafikisha Miaka 19 Kwa Kishindo Wawaasa Wakazi wa Dar es Salaam Kupenda Kufanya Mazoezi.

Home Gym Mwenge yafikisha miaka 19 kwa kishindo. Weekend iliyopita ilishuhudia Home Gym Mwenge moja ya Gym maarufu ya mazoezi ya viungo jijini Dar es salaam ikitimiza miaka 19 yangu ianzishwe. 
Sherehe hizo zilifanyika kwenye viwanja vya Shule ya wanasheria jijini na kuhudhuriwa na Mamia ya watu. Akiongea wakati wa sherehe hizo mwanzilishi na mmiliki wa Gym hiyo Andrew Mango alishukuru wanachama wa Gym hiyo na Wadhamini. 
Pia aliwataka wakazi wa Dar es salaam kupenda kufanya mazoezi ili kujenga afya bora.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.