Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amepiga magoti na mkewe Mama Janeth
Magufuli pamoja na Waumini wengine wa Kanisa la Waadventista Wasabato Ushirika
wa Magomeni Mwembechai katika Ibada ya Jumamosi kanisani hapo jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakisikiliza neno
katika Ibada hiyo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakiimba nyimbo
katika ibada hiyo ya Jumamosi katika Kanisa la Waadventista Wasabato Ushirika
wa Magomeni Mwembechai jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na waumini wa Kanisa la
Waadventista la Wasabato Ushirika wa Magomeni Mwembechai kabla ya kuendesha Harambee ya Ujenzi wa
kanisa hilo ambapo zaidi ya Sh. 25milioni ziliahidiwa kukusanywa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amepiga magoti pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli wakati wakiombewa
sala na Maaskofu wa Kanisa hilo la
Waadventista Wasabato, Sala iliyokuwa ikiongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la
Kusini mwa Tanzania Marc Walwa Malekana(wa kwanza kushoto)
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe
Mama Janeth Magufuli wakati wakikabidhi mifuko 400 ya Saruji itakayotumika
katika ujenzi wa Kanisa hilo la Wasabato la Magomeni Mwembechai jijini Dar
No comments:
Post a Comment