Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na mgeni wake Mkuu wa Chuo Kikuu cha VIT Nchini India Dk.G Viswanathan wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akiwa na ujumbe aliofuatana nao
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza Mkuu wa Chuo Kikuu cha VIT Nchini India Dk.G Viswanathan wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akiwa na ujumbe aliofuatana nao
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza Mkuu wa Chuo Kikuu cha VIT Nchini India Dk.G Viswanathan wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akiwa na ujumbe aliofuatana nao
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akifuatana na mgeni wake Mkuu wa Chuo Kikuu cha VIT Nchini India Dk.G Viswanathan wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akiwa na ujumbe aliofuatana nao,[Picha naIkulu.] 14/Nov/2017.
No comments:
Post a Comment