MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizindua upimaji wa Afya kwa Watoto
wa Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar akiwa na Mtoto Yussuf Abdalla mwenye umri wa miezi 4 akifanyiwa uchunguzi wa afya yake na Daktari Qin Qin , uzinduzi huo umefanyika
katika makazi yao mazizini Zanzibar
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa na Mtoto Yussuf Abdallah baada
ya kuzindua upimaji wa Afya kwa Watoto Yatima wa Mazizini Zanzibar, kushoto Mke
wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman na kulia Daktari
Bingwa wa Watoto kutoka China Dr. Qin Qin
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa na Mtoto Yussuf Abdallah baada
ya kuzindua upimaji wa Afya kwa Watoto Yatima wa Mazizini Zanzibar, kushoto Mke
wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman na kulia Daktari
Bingwa wa Watoto kutoka China Dr. Qin Qin
No comments:
Post a Comment