Habari za Punde

Mkutano wa halmashauri kuu ya CCM Taifa

 
Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar  Dkt Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Abdurahamani Kinana wakati akiwasili katika viwanja vya Ikulu kuhudhuria Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akifungua na kuhutubia Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM leo katika ukumbi wa Mikutano Jijini  








No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.