Kuzimika kwa umeme hakutokani na Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) bali ni kunatokana na khitilafu zilizotokea huko Shirika la Umeme Tanzania TANESCO. Hayo ni kwa mujibu wa Msemaji wa ZECO Bw. Salum Abdallah. Vuteni subra kidogo matengenezo yanaendelea.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment