Kuzimika kwa umeme hakutokani na Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) bali ni kunatokana na khitilafu zilizotokea huko Shirika la Umeme Tanzania TANESCO. Hayo ni kwa mujibu wa Msemaji wa ZECO Bw. Salum Abdallah. Vuteni subra kidogo matengenezo yanaendelea.
MNYAMA KATEPETA TENA MBELE YA WANANCHI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KLABU ya Yanga imeendelea kutamba mbele ya watani wao Simba Sc mara baada
ya kufanikiwa kuichapa 2-1 kwenye dimba la Benjam...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment