Kuzimika kwa umeme hakutokani na Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) bali ni kunatokana na khitilafu zilizotokea huko Shirika la Umeme Tanzania TANESCO. Hayo ni kwa mujibu wa Msemaji wa ZECO Bw. Salum Abdallah. Vuteni subra kidogo matengenezo yanaendelea.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment