Habari za Punde

Ziara ya Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Biashara Kilimo na Fedha Tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ Pemba.

Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Fedha, Biashara na Kilimo Mhe:Yussuf Hassan Iddi, akizungumza na watenda wa PBZ Tawi la Pemba, mara baada ya kamati hiyo kutembelea kituo cha huduma kwa wateja cha Benk hiyo Mkoani
Mjumbe wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mwakilishi wa Jimbo la Mtambile Mohamed Mgaza Jecha, akichangia katika kikao cha pamoja na watendaji wa PBZ baada ya kamati yao kutembelea kituo cha huduma kwa wateja Mkoani
Mkurugenzi Uwatawala wa Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ Ndg.Mohamed Omar Mohamed, akitoa maelezo kwa kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakati wa kikao cha pamoja na wajumbe wa kamati hiyo huko Mkoani
MENEJA wa PBZ Tawi la Pemba, Mohamed Mussa Ali akitoa maelezo ya Taarifa ya Kituo cha huduma kwa watecha cha Benk ya Pbz Mkaoani, mara baada ya wajumbe wa kamati ya Fedha, Biashara na  Kilimo ya Baraza la Wawakilishi kutembelea kituo hicho
AFISA mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba,Ibarhim Saleh Juma akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya baraza la wawakilizi Zanzibar, wakati walipotembelea jingo linalojengwa na benk ya PBZ la Tawi la Wete
MWENYEKITI wa kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe:Yussuf Hassan Iddi, akitoa maelezo ya kamati yake mara baada ya kutembelea jingo linalojengwa na PBZ Tawi la Pemba, kwa ajili ya kutolea huduma kwa wananchi Wate
WAJUMBE wa kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi, wakiangalia matengenezo makubwa yanayofanywa na PBZ katika kituo cha kutolea huduma kwa wateja Mkoani, wakati wajumbe hao walipotembelea kituo hicho
Wateja wa Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ Kisiwani Pemba wakipata huduma za Kibenki katika Tawi la PBZ Mkoani Pemba.
PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.