Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Awasili Mkoani Dodoma Mchana Huu Kuhudhuria Sherehe za Miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara Kesho.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe Sezaria Makota alipowasili katika Uwanja wa Ndege Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za Miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara zinazotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Mpira wa Jamuhuri Dodoma 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mkuu wa UVCCM Mhe. Shaka Hamdu Shaka alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mkoani Dodomo kuhudhuria Sherehe za Miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara zinazotarajiwa kufanyika kesho 9/12/2017 katika uwanja wa jamuhuri dodoma.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.