Baadhi ya Watoto wakitazama katuni katika Pazia la Kielektronik la Idara Habari (MAELEZO) katika Viwanja vya Mnara wa kumbukumbu Michenzani Mjini Unguja. Pazia hili la Kielektronik litakuwa likitoa taarifa mbalimbali za Serikali kwa Wananchi
ATCL YAINGIA MAKUBALIANO KUPELEKA MARUBANI KUFUNDISHA NA KUSIMAMIA NDEGE
MPYA NCHINI NIGERIA
-
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani
wake kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege
ya I...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment