Baadhi ya Watoto wakitazama katuni katika Pazia la Kielektronik la Idara Habari (MAELEZO) katika Viwanja vya Mnara wa kumbukumbu Michenzani Mjini Unguja. Pazia hili la Kielektronik litakuwa likitoa taarifa mbalimbali za Serikali kwa Wananchi
TFS WAJIVUNIA MIAKA MITATU YA UONGOZI WA RAIS SAMIA, WATAJA MAFANIKIO
LUKUKI YALIYOPATIKANA
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS)umesema katika kipindi cha miaka
mitatu ya uongozi wa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment