RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Kiongozi wa Ngazi za Juu wa nchi za Umoja wa nchi za Falme za Kiarabu( UAE) Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid
Belhoul Al Falasi, alipowasili katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai, kuanza ziara yake ya wiki moja
kulia ni Balozi wa Tanzania Katika Nchi za Umoja wa Falme za Nchi za Kiarabu, Balozi
Mbarouk Nassor Mbarouk
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Kiongozi
wa Ngazi za Juu wa nchi za Umoja wa nchi za Falme za Kiarabu( UAE) Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid
Belhoul Al Falasi, baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al
Majlis Dubai kuaza ziara yake ya Wiki moja.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Kiongozi wa ngazi za Juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu Dr.
Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi,alipowasili katika Uwanja wa
Kimataifa wa Al Majlis Dubai kuaza ziara yake ya Kiserikali ya Wiki moja.
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Mke wa Balozi wa
Tanzania katika Nchi za Umoja wa Falme za Nchi za Kiarabu, alipowasili katika
Uwanja wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Kiongozi wa Juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Nchi za Kiarabu
(UAE) Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi, alipowaili katka Uwanja wa Kimataifa wa Al
Maljis Dubai kuanza ziara yake ya Wiki moja, kushoto Waziri wa Fedha na Mipango
wa Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohammed kulia Balozi wa Tanzania katika Nchi za Umoja wa Falme za Nchi za Kiarabu (UAE) Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa
katika picha ya pamoja na Kiongozi wa Juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu Dr.
Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi, alipowasili katika uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiongoza na Kiongozi wa Juu wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu Dr.
Ahmad bin Abdallah Humaid Belhoul Al Falasi.alipowasili katika uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Al Majlis Dubai.
No comments:
Post a Comment