Habari za Punde

Naibu katibu Mkuu wa CCM Zanzibar aendelea na ziara yake kukagua miradi ya TASAF Kisiwani Peba

 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi, akizungumza na mwalimu mkuu wa skuli ya Maandalizi Junguni, Nusura Hamad iliyojengwa na Tasaf, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020 katika miradi ya Tasaf Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 NAIBU katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi, akiangalia moja ya vitabu wanavyosoma wanafunzi wa skuli ya Maandalizi Junguni, iliyojengwa na mfuko wa maendeleo ya Jamii Tanzania (Tasaf), wakati alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020 katika miradi ya Tasaf Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe:Abdalla Juma Mabodi, akiangalia moja ya karatasi za kusomeshea wanafunzi katika skuli ya maandalizi Junguni Wilaya ya Wete, iliyojengwa na mfuko wa maendeleo ya jamii Tanzania (Tasaf), wakati alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020 katika miradi ya Tasaf Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi, akiangalia moja ya fanicha zilizowekwa na mfuko wa maendeleo ya jamii Tanzania (Tasaf) katika skuli ya Maandalizi ya Junguni, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020 katika miradi ya Tasaf Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 NAIBU katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk:Abdalla Juma Mabodi, akizungumza na watengenezaji wa Mazulia ya Usumba katika kikundi cha Jiendeleze kwa maisha bora kilichopo Junguni Wilaya ya Micheweni, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020 katika miradi ya Tasaf Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

  NAIBU Katibu Mkuu CCM Zanzibar Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi, akizungumza na wananchi na wanachama wa kikundi cha Jiendeleze kwa maisha bora kinachojishuhulisha na utengenezaji wa mazulia ya Usumba, huko Wingwi Njuguni Wilaya ya Micheweni mkoa wa wa kaskazini Pemba, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020 katika miradi ya Tasaf Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MKURUGENZI wa Idara ya Uratibu shuhuli za Serikali kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Khalid Bakari Amran akitoa ufafanuzi juu ya mipango mbali mbali ya Tasaf kwa mwaka 2018, kwa wananchi wa junguni Wilaya ya Micheweni wakati alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020 katika miradi ya Tasaf Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.