BAADHI ya magari ya
abiria zenye rudi Chake-Uwanja wa ndege, zikiwa zimetulia katika skuli ya
Msingi Furahaa, kufuatia siku maalumu kwa wananchi wote kushiriki katika zoezi
la utiaji wa zege kwa skuli hiyo
WANANCHI wa Furaha
wakibeba kokoto kwa ajili ya umwagaji wa zege katika banda moja lenye vyumba
vinne vya kusomea wanafunzi, ili wananfunzi waliohamishwa katika skuli ya
Mabaoni waweze kurudi skulini kwaoWANANCHI wa Fura Wilaya ya Chake Chake, wakiponda zege kwa lengo al kwenda kumwaga katika madarasa manne mpya yanayojengwa na Baraza la Mji Chake Chake, kwa ajili ya wanafunzi wa skuli wa skuli hiyo, ambao kwa sasa wanasoma mabaoni
MAFUNDI Ujenzi katika shehia ya Furaha, wakimwaga zege na wengine kutandaza zege, katika moja ya mabanda ya skuli ya msingi Furaha Wilaya ya Chake Chake, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyoweka na baraza la mji chake chake la kujenga skuli hiyo
No comments:
Post a Comment