Habari za Punde

Waziri wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira akutana na kuzungumza na madiwani na masheha wa Wilaya ya Chake Chake


WATENDAJI mbali mbali wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Pemba, wakimsikiliza Waziri wa Wizara hiyo Mhe:Salama Aboud Talib, wakati alipokwua akisikiliza Changamoto zinazowakatibili wananchi, katika kikao cha pamoja madiwani na Masheha Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 KAIMU mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Pemba (ZAWA), Juma Ali Omara akitoa ufafanuzi wa Changamoto za wananchi zilizoelekezwa kwa ZAWA, katika kikao cha pamoja madiwani na Masheha Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 MENEJA wa Shirika la Umeme Pemba, Mohamed Juma Othman akitoa ufafanuzi wa Changamoto za wananchi zilizoelekezwa katika taasisi yake kutoka kwa wananchi, katika kikao cha pamoja madiwani na Masheha Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Zanzibar, Mhe:Salama Aboud Talib, akizungumza na madiwani na masheha wa Wilaya ya Chake Chake, wakati kikao maalumu cha kuangalia changamoto zinazowakabili wakanchi, katika kikao cha pamoja madiwani na Masheha Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MASHEHA na Madiwani wa Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba, wakifuatilia kwa makini hutuba ya Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Zanzibar,Mhe:Salama Aboud Talib alipokuwa akizungumza na masheha na madiwani hao katika kikao cha pamoja kilichofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.