Beki wa Timu ya JKU akiokoa mpira huku mshambuliaji wa Timu ya Miembeni City akijiandaa kuchukua mpira huo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan. Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa bao.1 - 0.
WAZIRI KOMBO APONGEZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA JPC RWANDA,
AHIMIZA KUCHANGAMKIA FURSA ZA USHIRIKIANO
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewapongeza wajumbe wa Tanzania waliowasili
jijini Kiga...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment