Kaimu Mkurugenzi
Maendeleo ya Sanaa Bibi. Leah Kihimbi (kulia) akifungua kikao cha Naibu Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (kushoto) na kikundi
cha Malezi Daima kujadili namna ya kurejusha maadili ya mtanzania leo Jijini
Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kikundi
cha Malezi Daima Bibi. Farida Sabu (Sonia) (kushoto) akichangia mada wakati wa
kikao cha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza
na kikundi cha Malezi Daima kujadili namna ya kurejusha maadili ya mtanzania
leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni mjumbe wa kikundi cha Malezi Daima Bibi.
Hidaya Njaidi (Tusa)
Naibu Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (kushoto) akizungumza
wakati wa kikao na wajumbe wa kikundi cha Malezi Daima kujadili namna ya
kurejesha maadili ya mtanzania kwa kuanzia na sekta ya sanaa leo jijini Dar es
Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa kikundi cha Malezi Daima Bibi. Farida Sabu
(Sonia)
Katibu Mtendaji
Baraza la Sanaa la Taifa Bw. Godfrey Mngereza (kulia) akijibu hoja wakati wa
kikao cha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza
na kikundi cha Malezi Daima kujadili namna ya kurejusha maadili ya mtanzania
leo Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa kikundi cha
Malezi Daima Bibi. Susan Humba (Natasha) (kushoto) akizungumza wakati wa kikao
cha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza na
kikundi cha Malezi Daima kujadili namna ya kurejusha maadili ya mtanzania leo
Jijini Dar es Salaam. Kulia ni mjumbe wa kikundi hicho Bibi. Grace Mapunda
(Mama Kawele)
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akichangia mada wakati wa
kikao cha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza
na kikundi cha Malezi Daima kujadili namna ya kurejusha maadili ya mtanzania
leo Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (katikati waliokaa)
katika picha ya pamoja na wajumbe wa kikundi cha Malezi Daima baada ya kufanya
nao kikao cha namna ya kurejesha maadili ya mtanzania hasa katika sekta ya
sanaa leo jijini Dar es Salaam. Kulia waliokaa ni Katibu Mtendaji Bodi ya
Filamu Bibi. Joyce Fissoo
Picha
na:
Genofeva Matemu - WHUSM
No comments:
Post a Comment