Afisa Mdhamini Ofisi
ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba, Ali Salim Ali Matta, akizungumza na masheha wa
Wilaya nne za Pemba, juu ya hali halisi ya mwelekeo wa Mvua za masika mwaka
huu, kikao kilichofanyika mjini chake chake
Mkurugenzi Mtendaji
wa kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar, Shaban Seif Mohamed, akizungumza
na masheha wa Wilaya nne za Pemba, juu ya mikakati ya kukabiliana na maafa
katika kipindi hiki cha mvua za masika zilizoanza kunyesha katika maeneo mbali
mbali ya Pemba
AFISA Operesheni na
huduma za binaadamu, kutoka kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar, Makame
Khatib Makame akiwasilisha mada juu ya hali ya mwelekeo wa mvua za masika, kwa
masheha wa Wilaya nne za Pemba
Mratibu wa Kamisheni
ya Kukabiliana na maafa Pemba, Khamis Arazk Khamis akizungumza na masheha wa
Micheweni katika kikao cha kukabiliana na maafa kilichofanyika mjini Chake
Chake
MASHEHA kutoka Wilaya nne za Kisiwani pemba, wakiwa katika kikao
cha siku moja cha kukabiliana na maafa, kilichofanyika mjini Chake Chake,
kikiwa na lengo hali halisi ya mwekeo wa mvua za masika mwaka huu.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba.)
No comments:
Post a Comment