Habari za Punde

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA UYOVU-BWANGA KM 45 ILIYOKAMILIKA KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami katika eneo la Uyovu mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine wakivuta utepe kuashiria ufunguzi wa Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami katika eneo la Uyovu mkoani Geita. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia ya wananchi wa Uyovu mkoani Geita kabla ya kufungua rasmi wa Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahi wakati akitizama kwaya ya Baraka ilipokuwa ikitumbuiza katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wanakwaya ya Baraka wakati alipowasili Uyovu kwa ajili ya ufunguzi wa barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Nyakayondwa Bangwa mkoani Geita wakati akielekea Uyovu kwa ajili ya ufunguzi wa Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
 Sehemu ya Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami. 
 Sehemu ya Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi wa Uyovu mara baada ya kufungua Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45  iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.