Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe
kuashiria ufunguzi rasmi wa Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami
katika eneo la Uyovu mkoani Geita.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
pamoja na viongozi wengine wakivuta utepe kuashiria ufunguzi wa Barabara ya
Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika
kujengwa kwa kiwango cha lami katika eneo la Uyovu mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia
ya wananchi wa Uyovu mkoani Geita kabla ya kufungua rasmi wa Barabara ya Uyovu-
Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa
kiwango cha lami.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akifurahi wakati akitizama kwaya ya Baraka ilipokuwa ikitumbuiza katika sherehe
za ufunguzi wa barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45
iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wanakwaya
ya Baraka wakati alipowasili Uyovu kwa ajili ya ufunguzi wa barabara ya Uyovu-
Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa
kiwango cha lami.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa
Nyakayondwa Bangwa mkoani Geita wakati akielekea Uyovu kwa ajili ya ufunguzi wa
Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika
kujengwa kwa kiwango cha lami.
Sehemu ya Barabara
ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika
kujengwa kwa kiwango cha lami.
Sehemu ya Barabara
ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika
kujengwa kwa kiwango cha lami.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi
wa Uyovu mara baada ya kufungua Barabara ya Uyovu- Bwanga- Km 45 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment