Uongozi wa Timu ya Baraza la Wawakillishi Sports Club yawapokea Wageni wao kutoka Arusha Wazee Sports Club kwa ajili ya michezo ya kirafiki kuadhimisha Tamasha la Michezo ya Pasaka, inayotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Amaan Zanzibar, kwa michezo mbalimbal;i ya Mpira wa Pete Mpira wa Miguu na Resi za magunia na kufukuza kuku.. Imewasili Zanzibar kwa boti ya Kilimanjaro leo asubuhi.
BAJETI YA TAMISEMI YAWAPA TUMAINI WANAHARAKATI WA JINSIA
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
ONGEZEKO la fedha shilingi Trilioni 10 kwenye bajeti ya Wizara ya Tamisemi
imeibua matumaini kwa Wanaharakati wa masuala ya...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment