Habari za Punde

Timu ya Wazee Arusha Sport Club Wawasilii Zanzibar Kwa Michezo ya Pasaka na Timu ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Uongozi wa Timu ya Baraza la Wawakillishi Sports Club yawapokea Wageni wao kutoka Arusha Wazee Sports Club kwa ajili ya michezo ya kirafiki kuadhimisha Tamasha la Michezo ya Pasaka, inayotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Amaan Zanzibar, kwa michezo mbalimbal;i ya Mpira wa Pete Mpira wa Miguu na Resi za magunia na kufukuza kuku.. Imewasili Zanzibar kwa boti ya Kilimanjaro leo asubuhi.

 Wachezaji na Viongozi wa Timu ya Wazee Arusha Sports Club wakiwasili katika bandari ya Zanzibar kwa boti ya Kilimanjaro. kuaza Tamasha la Pasaka Kesho.
 




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.