Uongozi wa Timu ya Baraza la Wawakillishi Sports Club yawapokea Wageni wao kutoka Arusha Wazee Sports Club kwa ajili ya michezo ya kirafiki kuadhimisha Tamasha la Michezo ya Pasaka, inayotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Amaan Zanzibar, kwa michezo mbalimbal;i ya Mpira wa Pete Mpira wa Miguu na Resi za magunia na kufukuza kuku.. Imewasili Zanzibar kwa boti ya Kilimanjaro leo asubuhi.
DKT MPANGO AIOMBA BENKI YA CRDB KUTOA ELIMU YA FEDHA AKIZINDUA TAWI BUHIGWE
-
Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani
Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa
Rais, ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment