Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) pamoja na
Bolozi wa Umoja wa Ulaya (katikati) Mhe. Roeland Van de Greer wakisalimiana, alipofika ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na
Bolozi wa Umoja wa Ulaya (katikati) Mhe. Roeland Van de Greer alipomtembelea
ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam kuzungumzia masuala mbalimbali ya urithi
wa ukombozi wa bara la Afrika
Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) pamoja na
Bolozi wa Umoja wa Ulaya (katikati) Mhe. Roeland Van de Greer wakiangalia moja
ya historia iliyoifadhiwa ya harakati za ukombozi wa Bara la Afrika baada ya
kuzungumzia masuala mbalimbali ya urithi wa ukombozi wa Bara la Afrika leo
Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimuonyesha
Bolozi wa Umoja wa Ulaya (wapili kushoto) Mhe. Roeland Van de Greer pikipiki
zilizotumika wakati wa harakati za ukombozi wa Bara la Afrika alipomtembelea
ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam kuzungumzia masuala mbalimbali ya urithi
wa ukombozi wa bara la Afrika. Kulia ni Mratibu wa Programu ya Urithi wa
Ukombozi wa Bara la Afrika Bibi. Ingiahedi Mduma
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe
(kulia) akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. WANG KE alipomtembelea
ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam kuzungumzia masuala mbalimbali ya urithi
wa ukombozi wa bara la Afrika
Mratibu wa programu
ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika Bibi. Ingiahedi Mduma (kushoto) pamoja
na wajumbe wengine kutoka Wizara ya Habari wakifuatilia majadiliano ya Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani)
na Balozi wa China nchini walipokutana kuzungumzia masuala mbalimbali ya urithi
wa ukombozi wa bara la Afrika leo Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akiangalia
kitabu alichopewa na balozi wa China nchini Mhe. WANG KE (kushoto) baada ya
kufanya mazungumzo yanayohusu masuala ya urithi wa ukombozi wa Bara la Afrika
leo Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment