Kamishna wa Operesheni wa Jeshi
la Zimamoto na Uokoaji (CF) Billy Mwakatage, akiwapa pole Waathirika wa moto
ulioteketeza vibanda vya Wafanyabiashara wa Soko la Nguo Mbagala Temeke Jijini
Dar es Salaam. Alipotembelea eneo hilo mapema leo asubuhi.
Kamaishna wa Operesheni wa Jeshi
la Zimamoto na Uokoaji (CF) Billy Mwakatage akimfariji kwa kumpa pole Mama
lishe Bi. Fatma Hassan aliyeunguliwa na vitendea kazi vyake kufuatia tukio la
kuungua kwa moto kwa soko la nguo Mbagala.
Alipotembelea eneo hilo mapema leo asubuhi.
Kamishna wa Operesheni wa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (CF) Billy Mwakatage akikagua eneo la Soko la Nguo
Mbagala lililoteketea kwa moto juzi. Alipotembelea eneo hilo mapema leo
asubuhi.
Sehemu ya Wafanyabiashara
wa Soko la Nguo Mbagala Temeke Jijini Dar es Salaam walioathirika na moto
ulioteketeza vibanda vya wafanyabiashara hao juzi. (Picha na Jeshi la Zimamoto
Na Uokoaji)
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA HABARI NA ELIMU KWA UMMA - JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
No comments:
Post a Comment