AFISA
Miradi wa TAMWA Zanzibar Bi. Asha Abdi akifungua mafunzo ya Waandishi wa Habari
Zanzibar kuhusiana na kutumia Vyombo vya habari pamoja na Mitandao ya Kijamii
kupaza sauti za Wananchi kuchochea Uwajibikaji wa Watendaji, yaliowashirikisha
Waandishi wa habari za maendeleo Zanzibar na watumiaji wa Mitandao ya Kijamii
Zanzibar, mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Watu wenye Ulemavu Welesi
Zanzibar
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar Jabir Idrisa akizungumza wakati wa mafunzo hayo yaliuofanyika katika ukumbi wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar,Welesi.
BAADHI
ya Waandishi wa wakifuatilia Warsha ya Siku moja ya Mafunzo ya kuwawezesha
Waandishi wa habari kutumia vyombo vya habari pamoja na mitandao ya Kijamii
kupaza sauti za Wananchi na kuchochea uwajibikaji wa Watendaji, yaliofanyika katika
ukumbi wa Watu wenye Ulemavu welesi, yalioandaliwa na Tamwa kwa kushirikiana na
Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar
MTOA
Mada kutoka Chuo Kikuu cha SUZA Mwalimu Seif Gharib akitowa mata ya kuhusiana
na Matumizi ya Mitandao ya Kijamii kuhabarisha Wananchi, wakati wa warsha ya
mafunzo ya Siku moja kwa Waandishi wa Habari Zanzibar yalioandaliwa na TAMWA
Zanzibar kwa kushirikiana na Jumuiya ya Waandishi wa habari za Maendeleo
Zanzibar,(WAHAMAZA) yaliofanyika katika ukumbi wa watu wenye ulemavu welesi
Zanzibar
MTOA
Mada Mwalimu Burhani Muhuzi,akitowa mada kuhusiana na Nguvu ya Mitandao ya
Kijamii, wakati wa warsha ya siku moja ya mafunzo kwa Waandishi wa habari
kuhusiana na kuwawezesha waandishi kutumia mitandao ya kijamii kupazac sauti za
wananchi na kuchochea uwajibikaji wa Watendaji, warsha hiyo imeandaliwa na
TAMWA Zanzibar kwa kushirikiana na WAHAMAZA,iliofanyika katika ukumbi wa watu
wenye ulemavu welesi Zanzibar
NAIBU
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Zanzibar. Dkt. Juma Mohammed Salum, akifunga
mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa habari kuhusiana na matumizi ya mitandao
ya kijamii, mafunzo yalioandaliwa na TAMWA Zanzibar kwa Jumuiya ya Wandishi wa
Habari za Maendeleo Zanzibar (WAHAMAZA)yaliofanyika katika ukumbi wa Watu wenye
ulemavu welesi Zanzibar
BAADHI
ya Waandishi wa wakimsikiliza Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Dkt. Juma Mohammed Salum akifunga mafunzo hayo ya Siku moja kuwawezesha
Waandishi wa habari kutumia vyombo vya habari pamoja na mitandao ya Kijamii
kupaza sauti za Wananchi na kuchochea uwajibikaji wa Watendaji, yaliofanyika katika
ukumbi wa Watu wenye Ulemavu welesi, yalioandaliwa na Tamwa kwa kushirikiana na
Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar Salma Said akizungumza wakati wa ufungaji wa Warsha hiyo ya Siku Moja iliowashirikisha Waandishi wa Habari Zanzibar, mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar,Welesi.
Waandishgi wa Habari walioshiriki Mafunzo
ya Waandishi wa Habari Zanzibar kuhusiana na kutumia Vyombo vya habari pamoja
na Mitandao ya Kijamii kupaza sauti za Wananchi kuchochea Uwajibikaji wa
Watendaji, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo hayo yaliofanyika katika Ukumbi wa Watu wenye Ulemavu Welesi Zanzibar.
No comments:
Post a Comment