Habari za Punde

Mafunzo ya watu wenye ulemavu Pemba yafanyika Pemba

 MRATIBU wa Idara ya Watu wenye Ulemavu Kisiwani Pemba Mashavu Juma, akiwasilisha mada ya watu wenye ulemavu katika kikao cha pamoja masheha, madiwani, viongozi wa dini na watu wenye ulemavu huko katika ukumbi wa Jamhuri holi Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 AFISA mdhamini Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Ali Salim Matta, akizungumza katika kikao masheha, madiwani, Viongozi wa Dini na watu wenye ulemavu, juu ya masuala mbali mbali yanayowahusu watu wenye ulemavu Pemba, huko0 katika ukumbi wa Jamhuri Holi Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WASHIRIKI wa Mafunzo ya watu wenye ulemavu Pemba, wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo huko katika ukumbi wa Jamhuri Holi Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othaman, akifungua mafunzo ya watu wenye Ulemavu huko katika ukumbi wa Jamhuri Holi Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.