Habari za Punde

Mashindano ya Mei Mosi Pemba: Mkoa wa Kaskazini Waibugiza Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais 10-0

 MCHEZAJI wa Timu ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, Salim Suleiman akiukontroli mpira na kujaribu kumpita mchezaji wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba, ikiwa ni mwendelezo wa mashindano ya Mei Mosi, Mkoa wa kaskazini Pemba umeubuka na ushindi wa bao 10-0 mchezo umepigwa uwanja wa Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MCHEZAJI Hamad Khamis akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuumia, wakati akiitumikia timu yake ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni mwendelezo wa mashindano ya Mei Mosi, Mkoa wa kaskazini Pemba umeibuka na ushindi wa bao 10-0 mchezo umepigwa uwanja wa Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MCHEZAJI Khamis Abdalla wa Timu ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, akifunga bao lake la tatu, katika michezo ya Mei Mosi inayoendelea kurindima katika uwanja wa Gombani, matokeo ya mchezo huo Mkoa wa Kaskazini Pemba kuibuka na ushindi wa bao 10-0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.