Habari za Punde

Mkutano wa tatu wa Mradi wa kuboresha Mazingira

 MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa akili Zanzibar (ZAPDD) Mkubwa Ahmed Omar akifungua mkutano wa wadau wa mradi wa kuboresha mazingira ya upatikanaji wa haki kwa watu wenyeulemavu wa akili, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WADAU wa Mradi wa Kuboresha mazingira ya upatikanaji wa haki kwa watu wenyeulemavu wa akili Zanzibar, wakiwa katika mkutano wa tatu ya mradi huo, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MRATIBU wa Mradi wa kuboresha mazingira ya upatikanaji wa haki kwa watu wenyeulemavu wa akili Zanzibar, Khamis Abdalla Sururu akiwasilisha ripoti ya mradi huo kwa mwaka 2017, kwa wadu wake huko mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 HAKIMU wa Mahakama ya Mkoa wa Kusini Pemba, Khamis Ali Simai akichangia ripoti ya mradi wa kuboresha mazingira ya upatikanaji wa haki kwa watu wenye ulemavu wa akili Zanzibar kwa mwaka 2017, huko mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 AFISA uhusiano wa ZRB Zanzibar Makame Khamis Mohamed, akimfahamisha mmoja ya wasajiliwa wapya wa ZRB, juu ya ujazaji wa fomu mbali mbali za malipo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MSAIDIZI Meneja wa ZRB Pemba Ali Omar, akifungua kikao cha wasajiliwa wapya wa ZRB Pemba, kikao hicho kilichofanyika Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.