Habari za Punde

Maji Chumvi ya bahari yazidi kuwaathiri wakulima wa Mpunga bonde la Mpanja, Gando kisiwani Pemba

 Amour Khamis Makame mmoja wa wakulima wabonde la mpanja Shehia ya Gando Wilaya ya Wete, akiwaonyesha baadhi ya waandishi wa Habari, eneo ambalo maji chumvi yanaingia katika mashamba yao ya Mpunga na hatimae miaka 15 sasa wamekosa kulima.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA) 
 BAADHI ya wakulima wa mpunga katika bonde la Mpanja Gando, wakipita juu ya Tuta ambalo wamelitengeneza kwa nguvu zao kwa lengo la kuzuwia maji chumvi, huku likiwa na urefu wa mita 150, lakini bado juhudi zao zimeshindikana.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA) 

BONDE la Mpanja shehia ya Gando, ambalo wakulima wa mpunga wasio pungua 200, sasa wamekosa shughuli zao za kilimo baada ya maji chumvi kuingia katika mashamba yao ya mpunga, hali iliyowafanya wakulima hao kukosa kulima kwa zaidi ya miaka 15 sasa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.