Habari za Punde

MKUTANO WA CHAMA CHA WANANCHI CUF NA WAANDISHI WA HABARI WAFANYIKA ZANZIBAR.

Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini  CUF Mussa Haji Kombo katikati akifafanua baadhi ya maswala mbalimbali ya Mwenendo na Migogoro ndani ya  chama hicho kwa  Waandishi wa Habari  Mkutano uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip Malindi Mjini Unguja.kulia yake ni Kiongozi wa Ulinzi wa CUF Thney Juma na Kushoto ni  Mratibu wa Mkutano wa CUF Ali Makame.

Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini  CUF Mussa Haji Kombo akizungumza na Waandishi wa Habari   kuhusiana na mwenendo na migogoro ndani ya Chama hicho Mkutano uliofanyika   katika Hoteli ya Golden Tulip Malindi Mjini Unguja.
Mratibu wa Mkutano wa CUF Ali Makame akitoa maelezo kuhusiana na Mkutano  na kumkaribisha Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini  CUF Mussa Haji Kombo kuzungumza na Waandishi wa Habari katika Hoteli ya Golden Tulip Malindi Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.