Majengo pacha ya taasisi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , ambayo yamejengwa huko Gombani Pemba , kwa ajili ya Ofisi za Wizara tatu ikiwemo , Wizara ya Fedha, Katiba na Sheria , na Wizara ya Uwezeshaji, Pemba, ambayo yalitembelewa na Mawziri wasiokuwa na Wizara maalumu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , Said Soud Said na Juma Ali Khatib , wakati walipokuwa na ziara ya kutembelea maendeleo yalioletwa na Utawala wa Dkt ,Ali Mohammed Shein.
PICHA NA BAKAR MUSSA-PEMBA.
No comments:
Post a Comment