Habari za Punde

Wizara ya Elimu na Mafunzo amali yakanusha taarifa za wanasiasa kuhusu uajiri wa Walimu

 AFISA Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, Salim Kitwana Sururu, akiwaonyesha waandishi wa habari Pemba, baadhi ya Vibali vilivyotumika kuajiri walimu 255 na sio walimu 8 kama walivyosema wanasiasa Kisiwani Pemba Hivi karibuni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

AFISA Mdhamini Wizara ya ELimu na Mafunzo ya Amali Pemba, akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari, juu ya taarifa zilizotolewa na wanasiasa kisiwani Pemba hivi karibuni, kuwa WEMA imeajiri walimu nane (8) katika kipindi na kuwapeleka chokocho, badala yake imeajiri walimu 255 katika kipindi cha miezi mitatu Januari hadi Machi mwaka 2018.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.