Habari za Punde

Makabidhiano ya vibaraza vya biashara soko la Tibirinzi Chake.

 WAFANYABISHARA wa Mboga mboga na Matunda, wakiwa nadani ya soko lao jipya la Tibirinzi wakisubiri kupatiwa vibaraza vya kufanyia biashara zao, kutoka kwa uongozi wa baraza la Mji Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 
MABANDA ambayo wafanyabiashara wa mboga mboga na matunda zamani walikuwa wakiyatumia kufanyia biashara zao, kabla ya kupatiwa vibaraza vya biashara ndani ya Soko jipya la Tibirinzi Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MKURUGENZI wa Baraza la Mji Chake Chake Nassor Suleiman Zaharan, akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Matunda na mboga mboga la Tibirinzi, kabla ya kuwakabidhi vibaraza vya kufanyia biashara katika soko hilo jipya.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 BAADHI ya wafanyabiashara wa matunda na mboga mboga katika soko jipya la Tibirinzi, wakikagua vibaraza vyao walivyopewa na uongozi wa baraza la mji chake chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MFANYABISHARA wa mbogamboga na Nafaka katika soko jipya la Tibirinzi Kassim Kishuka, akizungumza na mwandishi wa habari wa ZBC TV Raya Ahmada, mara baada ya kukabidhiwa kibaraza chake cha kufanyia bishara zake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.