Habari za Punde

Matukio katika picha kisiwani Pemba

 MKUU wa Wilaya ya Micheweni Salama Mbarouk Khatib, akiwashajihisha wanawake wezake kuekeza katika vikundi vya ushirika, ili mradi wa TASAF utakapomalizia kuwa na hakiba zao, wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Uongozi Tasaf Pemba, kutembelea shughuli za mpango wa kunusuru kaya masikini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 NAIBU waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ, Shamata Shaame Khamis akimkabidhi fedha shilingi laki moja na Mia Tisa mmoja ya walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini shehia ya Mtangani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, kikagua zao la Sun Flowers ambalo limepandwa katika shamba darasa la kaya masikini shehia ya Mjini Ole, wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Uongozi Tasaf Pemba, kutembelea shughuli za mpango wa kunusuru kaya masikini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.