Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali akihutubia Wanafunzi wa Chuo cha Utumishi IPA Tunguu wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Vikalio kwa ajili ya kusomea Wanafunzi wa Chuo hicho vilivyojengwa kupitia Ufadhili wa Kampuni ya PennyRoyal Zanzibar Limited kupitia Mradi wake wa Blue Amber.Hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Chuo hicho huko Tunguu Zanzibar.
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeshiriki maadhimisho ya
kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayojumuisha Wi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment