Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali akihutubia Wanafunzi wa Chuo cha Utumishi IPA Tunguu wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Vikalio kwa ajili ya kusomea Wanafunzi wa Chuo hicho vilivyojengwa kupitia Ufadhili wa Kampuni ya PennyRoyal Zanzibar Limited kupitia Mradi wake wa Blue Amber.Hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Chuo hicho huko Tunguu Zanzibar.
KOCHA LAURENCE AFURAHISHWA NA VIWANGO VYA WACHEZAJI TABORA UNITED
-
Kocha Mkuu wa Timu ya Tabora United Denis Laurence amesema kuwa katika
kipindi cha siku saba tangu alipojiunga na timu anaridhishwa na viwango vya
wachez...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment