MHASIBU wa Baraza la
Mji Chake Chake aliyejulikana kwa jina la Khamis Suleiman Khamis, akitoka kuvua
samaki katika boja ya mabwawa ya ufugaji wa samaki yakikundi cha Bora Uhai
kilichoko Rasi Mkumbuu Wilaya ya Chake Chake
WANACHAMA wa Kikundi
cha Bora Uhai kilichoko Rasi Mkumbuu Wilaya ya Chake Chake, wakiwa wametanda
nyavu ndani ya moja ya mabwawa yao kwa lengo la kuvua samaki, ambapo tayari
muda wake wa kuvuliwa umefika
WANAKIKUNDI cha Bora
uhai kilichopo Rasi Mkumbuu Wilaya ya Chake Chake, wakiwatoa samaki katika
nyavu baada ya kuwavua kutoka katika bwawa lao la kufugia samaki huko Mkumbuu,
ambapo samaki mmoja mkubwa kwa jumlla ameuzwa shilingi 3000
WANACHAMA wa Kikundi
cha Bora Uhai kilichoko Rasi Mkumbuu Wilaya ya Chake Chake, wakiwa wametanda
nyavu ndani ya moja ya mabwawa yao kwa lengo la kuvua samaki, ambapo tayari
muda wake wa kuvuliwa umefika
MMOJA wa wanachama wa Kikundi cha Bora uhai kilichopo Rasi
Mkumbuu, kinachojishuhulisha na ufugaji wa Samaki, akipiga mnada mmoja wa samaki
waliovuliwa ambapo samaki mkubwa aliuzwa shilingi 3000/=
.(Picha na Abdi Suleiman -Pemba)
No comments:
Post a Comment