Watoto Kisiwani Pembe wakiwa katika viwanja vya Sikukuu vya Tibirinzi wakiwa katika pembea ya ndege katika uwanja huo uliopio katika eneo la Chakechake Pemba, kwa michezo mbalimbali iliomu katika viwanja hivyo vinavyomilikiwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF).Wakati wa Sherehe za kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitry baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kumalizika na kuungana na Waumini wa Dini ya Kiislam Duniani kuadhimisha Siku hiyo.
WAZAZI na Walezi
wakiwa katika folieni ya kwendaq katika moja ya Pembea za Ndege kama
walivyokutwa na Kamera ya Zanzibarleo, ndani ya kiwanja cha kufurahishia watoto
Tibirinzi, wakati wa skukuu ya Eid el Fitri
WAZAZI wakifurahi na
watoto wao, katika moja ya Pembea za ndege zinazopatikana katika kiwanja cha
kufurahishia watoto Tibirini, wakati wa skukuu ya Eid el Fitri
No comments:
Post a Comment