Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Fumba wakiwa katika mapumziko na kupunga upepo katika mandhari hiyo nzuri na kivutio kwa Wananchi Wengi wa Zanzibar kutembelea eneo hilo siku za jumamosi na jumapili.
RAIS MWINYI: TUIOMBEE NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
-
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.
Hussein ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment