Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Fumba wakiwa katika mapumziko na kupunga upepo katika mandhari hiyo nzuri na kivutio kwa Wananchi Wengi wa Zanzibar kutembelea eneo hilo siku za jumamosi na jumapili.
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI NA "CURTIS LAW FIRM" KUSHIRIKIANA
KUWAJENGEA UWEZO MAWAKILI
-
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno amefanya
mazungumzo na Ujumbe kutoka Kampuni ya Kimataifa ya Mawakili ya Curtis (
Curtis, Mallet-P...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment