Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wakiwa katika Picha ya Pamoja na Vijana Walioacha Matumizi ya Dawa za Kulevya Zanzibar wakati wa hafla hiyo iliofanyika Viwanja vya Mapinduzi Squera Michezani Zanzibar.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment