Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wakiwa katika Picha ya Pamoja na Vijana Walioacha Matumizi ya Dawa za Kulevya Zanzibar wakati wa hafla hiyo iliofanyika Viwanja vya Mapinduzi Squera Michezani Zanzibar.
Safari ya wanafunzi zaidi ya 100 kundi la pili kwenda kusoma nje ya nchi
yapata baraka na nasaha
-
Na Mwandishi Wetu
KUNDI la pili la wanafunzi 100 wanatarajia kuondoka wiki hii kusoma kwenye
vyuo vikuu mbalimbali nchi za nje mwaka huu wa masomo kupitia ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment