Habari za Punde

WAZIRI UMMY KWA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA TIKA WAGAWA VYAKULA VYA SIKUKUU YA EID EL FITRI KWA WAKAZI WA JIJI LA TANGA

 WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ambaye pia Mbunge wa Viti Maalumu (CCM)Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu katika akigawa vyakula vyenye thamani ya sh.milioni 29.9 kwa kaya 500 za wakazi wa Jiji la Tanga ambavyo ni Mchele Kg 5,Maharage Kg 5,Sukari Kg 5,Unga wa Ugali kg 5,Unga wa Ngano Kg 5,Chumvi Kg 1 na Mafuta ya kupikia lita 5 kwa ajili ya sikukuu ya Eid El Fitri vilivyotolewa na Shirika la Maendeleo la Uturuki (TIKA) baada ya kuwapa maombi ya mahitaji hayo kwa wakazi hao kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella katika halfa iliyofanyika kwenye viwanja vya CCM Mkwakwani mjini Tanga
  WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ambaye pia Mbunge wa Viti Maalumu (CCM)Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu  akigawa vyakula vyenye thamani ya sh.milioni 29.9 kwa ajili ya sikukuu ya Eid El Fitri kwa kaya 500 za Jiji la Tanga ambavyo ni Mchele Kg 5,Maharage Kg 5,Sukari Kg 5,Unga wa Ugali kg 5,Unga wa Ngano Kg 5,Chumvi Kg 1 na Mafuta ya kupikia lita 5vilivyotolewa na Shirika la Maendeleo la Uturuki(TIKA) baada ya kuwapa maombi ya mahitaji hayo kwa wakazi hao kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella katika halfa iliyofanyika kwenye viwanja vya CCM Mkwakwani mjini Tanga
  WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ambaye pia Mbunge wa Viti Maalumu (CCM)Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu kushoto akimkabidhi vyakula mkazi wa Jiji la Tanga vyenye thamani ya sh.milioni 29.9 kwa ajili ya sikukuu ya Eid El Fitri kwa kaya 500 za wakazi  Jiji la Tanga ambavyo ni Mchele Kg 5,Maharage Kg 5,Sukari Kg 5,Unga wa Ugali kg 5,Unga wa Ngano Kg 5,Chumvi Kg 1 na Mafuta ya kupikia lita 5 vilivyotolewa na Shirika la Maendeleo la Uturuki(TIKA) baada ya kuwapa maombi ya mahitaji hayo kwa wakazi hao kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella katika halfa iliyofanyika kwenye viwanja vya CCM Mkwakwani mjini Tanga
 WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ambaye pia Mbunge wa Viti Maalumu (CCM)Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu kulia akiteta jambo na Mratibu wa Shirika la Tika Hikmet Ozdenoglu kabla ya kuanza zoezi la ugawaji wa vyakula kwa ajili ya sikukuu ya Eid El Fitri  katikati ni Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella
  WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ambaye pia Mbunge wa Viti Maalumu (CCM)Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu kushoto akiwa na Mratibu wa Shirika la Maendeleo Uturuki (TIKA) Hikmet Ozdenoglu wakifuatilia ugawaji wa vyakula kwa ajili ya sikukuu ya Eid El Fitri
  WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ambaye pia Mbunge wa Viti Maalumu (CCM)Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu katikati akiwa na Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto wakiwa na Mratibu wa Shirika la Maendeleo la Uturuki (TIKA) Hikmet Ozdenoglu wakifuatilia matukio mbalimbali kwenye halfa hiyo ya ugawaji wa vyakula ambavyo ni Mchele Kg 5,Maharage Kg 5,Sukari Kg 5,Unga wa Ugali kg 5,Unga wa Ngano Kg 5,Chumvi Kg 1 na Mafuta ya kupikia lita 5
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga akizungumza wakati wa halfa hiyo
 MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza katika halfa hiyo
 Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga Allan Kingazi akizungumza katika halfa hiyo
 MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa akizungumza katika halfa hiyo
  Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga Allan Kingazi katikati akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella wakati wa halfa hiyo kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga Meja Hamisi Mkoba
 WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kulia akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto wakati wa halfa hiyo

 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga katikati akiteta jambo na Mratibu wa Shirika la Tika Hikmet Ozdenoglu kabla ya kuanza zoezi  ugawaji wa vyakula kwa ajili ya sikukuu ya Eid El Fitri kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella
 Sehemu ya wananchi wakisubiri kupatiwa vyakula hivyo

Sehemu ya wananchi waliojitokeza kupata vyakula hivyo kwa ajili ya sikukuu

Sehemu ya vyakula vilivyotolewa

 Sehemu ya vyakula vikishushwa kwenye gari tayari kwa ajili ya kugawiwa wakazi 500 wa Jiji la Tanga ambavyo vimetolewa na Shirika la Maendeleo la Uturuki (TIKA)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.