Alama ya Barabarani ikiwa imewekwa katika eneo la barabara ya kwalinatu kuelekea miembeni jirani na makutano ya barabara ya kariakoo Uwanja wa Watoto, Ikionesha alama ya Zebra na Picha ya Mtu ameshika muavuli akivuka barabara. Wananchi wengi wakijuulisha Alama hii inaashiria nini ikizingatiwa katika eneo hilo hakuna mchoro wowote wa kuonesha kuna sehemu ya kuvuka Watu kwa kutumia miguu.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment