Alama ya Barabarani ikiwa imewekwa katika eneo la barabara ya kwalinatu kuelekea miembeni jirani na makutano ya barabara ya kariakoo Uwanja wa Watoto, Ikionesha alama ya Zebra na Picha ya Mtu ameshika muavuli akivuka barabara. Wananchi wengi wakijuulisha Alama hii inaashiria nini ikizingatiwa katika eneo hilo hakuna mchoro wowote wa kuonesha kuna sehemu ya kuvuka Watu kwa kutumia miguu.
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment