WANANCHI wa shehia ya Uweleni wakiwa katika mkutano na uongozi wa kujadili changamoto zinazowakabili uliofanyika Mapinduzi Mkoani.
Katibu Tawala Wilaya ya Mkoani Miza Hassan Faki akizungumza na wanachi wa shehia ya Uweleni katika mkutano wa kujadili matatizo yanayowakabili wananchi hao.
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Issa Juma Ali akizungumza na wananchi wa Shehia ya Uweleni Mkoani katika Mkutano uwa kujadili changamoto zinazowakabili katika shehia yao.
PICHA ZOTE NA HABIBA ZARALI
No comments:
Post a Comment