Habari za Punde

Licha ya Polisi kujitahidi kusimamia Usalama Barabarani lakini Wananchi bado huhatarisha maisha yao

LICHA ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba kitengo cha usalama wa barabarani, kuwa wakali pale gari ya abiria inapojaza na kuning'iniza abiria, pichani gari ya abiria njia ya Wambaa ikiwa imepakia abiria kupitia kiasi hali inayohatarisha maisha ya wananchi.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.