Ndege
mpya aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali ikiwasili
katika uwanja wa ndege wa wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es
Salaam, ikipokelewa kwa heshima na kumwagiwa maji na magari ya Faya ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo ilipowasili ikitokea Nchini Marekani.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Makamu wa Rais
Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wengine
mara baada ya kuwasili kwa Ndege mpya aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo
imenunuliwa na Serikali.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Makamu wa Rais
Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wengine
mara baada ya kuwasili kwa Ndege mpya aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo
imenunuliwa na Serikali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua ndege hiyo mpya na
yakisasa aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali mara
baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua ndege hiyo mpya na
yakisasa aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali mara
baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere
jijini Dar es Salaam.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment