MKUU
wa Idara ya Teknolojia wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Dr. Abubakari
Diwani , akimfanyia udalihi mwanafunzi, wakati wa maonesho ya Udahili wa
Wanafunzi Wapya wanaotaka kujiunda na Chuo Kikuu SUZA maonesho hayo yamefanyika
katika viwanja vya Mapinduzi Square michezani Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment