MKUU
wa Idara ya Teknolojia wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Dr. Abubakari
Diwani , akimfanyia udalihi mwanafunzi, wakati wa maonesho ya Udahili wa
Wanafunzi Wapya wanaotaka kujiunda na Chuo Kikuu SUZA maonesho hayo yamefanyika
katika viwanja vya Mapinduzi Square michezani Zanzibar
GASSHUKU 2025 LA JUNDOKAN TANZANIA LAFANA JIJINI DAR
-
Wanafunzi na wakufunzi wa Jundokan Karate Do Tanzania leo Jumapili, Julai
6, 2025, wameungana katika Gasshuku – yaani semina maalum ya karate –
iliyof...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment