Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola
(wapili kushoto), akiongozana na Naibu Waziri
Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (wapili
kulia), kutembelea eneo la Kaloleni zilipo nyumba za polisi, jijini Arusha.
Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Arusha, Ramadhani Ng’anzi (kulia) baada ya kutoka kutembelea
Kituo cha Polisi Utalii.Wapili kulia ni
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo
Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akimsikiliza mmoja wa wananchi waliofika
Kituo cha Polisi kupata huduma,Waziri Lugola yupo mkoani Arusha kwa ziara ya
kikazi
Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na mdau wa maendeleo mjini
Arusha,Hans Pol.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo.Waziri Lugola yupo
mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi
Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi, Kangi Lugola, Naibu Waziri
Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo
(kulia),wakisikiliza taarifa ya Kituo cha Polisi Utalii baada ya viongozi hao
kutembelea kituo hicho.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment