Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro
akisalimiana na Maofisa waliopo Shule ya Polisi Moshi zamani CCP wakati wa
ziara ya kikazi kuangalia mwenendo wa mafunzo chuoni hapo na kuzungumza na
Wakufunzi wa chuo hicho
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akikagua
gwaride baada ya kuwasili Shule ya Polisi Moshi zamani CCP kwa ziara ya kikazi
kuangalia mwenendo wa mafunzo chuoni hapo na kuzungumza na Wakufunzi wa chuo
hicho.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro
akizungumza na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa
Polisi Hamis Issah na RPC Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi Ramadhan Nganzi
wakati wa Ziara yake ya kikazi Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro
akisalimiana na Wakazi wa Kata ya Mto wa Mbu Wilayani Monduli wakati
alipokwenda kuzungumza nao wakati wa Ziara yakeya kikazi Mkoa wa Arusha yenye
lengo la kutatua changamoto za uhalifu
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro
pamoja na Afisa Mtendaji wa Kata ya Mto wa Mbu Wilayani Monduli Bi Kuluthum
Hassan wakikagua eneo la Polisi linalotarajiwa kujengwa kituo cha Polisi wakati
wa Ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha yenye lengo la kutatua changamoto za
uhalifu. Kulia ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha SACP Ramadhan Nga’nzi
Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya
Karatu Bi. Theresia Mhongo wakati wa Ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha yenye
lengo la kutatua changamoto za uhalifu (Picha na Jeshi la Polisi).
No comments:
Post a Comment