MKUU
wa Wilaya ya Wete Pemba Abeid Juma Ali akizungumza na vijana wa vikundi vya
ushirika wa kilimo katika mkutano wa kibiashara kwa vikundi vya wanawake na
vijana ,uliofanyika katika ukumbi wa Baraza la Mji Chakechake.
VIJANA wa
vikundi vya ushirika vya kilimo kusiwani Pemba
wakiwa katika mkutano wa kibiashara kwa vikundi vya wanawake na vijana
,uliofanyika katika ukumbi wa Baraza la Mji Chakechake. Picha na HABIBA ZARALI.
No comments:
Post a Comment