Habari za Punde

Ujumbe wa Wataalum 16 Kutoka Nchi za Falme za Kiarabu UAE Wamaliza Ziara Yao ya Mwaliko wa Rais Dk. Shein. Kutembelea Visiwa Vya Unguja na Pemba.Kuangalia Maeneo ya Uwekezaji wa Miradi.

Mshauri wa Rais Ushirikiano wa Kimataifa,Fedha na Uchumi Mhe.Mohamed Ramia Abdiwawa (kulia) alipokuwa akiagana na Ujumbe wa Timu ya Wataalam kutoka serikali ya Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar baada ya kumaliza ziara yao nchini ya kuja kutembelea sehemu mbali mbali kufuatia ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika nchi za Umoja huo Mwanzoni kwa mwaka huu.[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.