Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Mke wa Waziri mkuu
Mama Mary Majaliwa walipoungana na waumini wengine kusali Ibada ya jumapili
katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Mke wa Waziri mkuu
Mama Mary Majaliwa walipoungana na waumini wengine kusali Ibada ya jumapili
katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akipeana mkono wa amani na mmoja wa Masista wakati wa Ibada ya jumapili katika
Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akipewa mkono wa pole na Paroko msaidizi Padre Batholomeo
Bachoo kwa niaba ya Waumini wa Parokia hiyo kufutia ajali ya Kivuko cha Mv
Nyerere iliyotokea katika Ziwa Victoria Septemba 20,2018.Wakati wa Ibada ya
jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es
Salaam
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Janeth
Magufuli akipewa mkono wa pole na Paroko msaidizi Padre Batholomeo Bachoo kwa
niaba ya Waumini wa Parokia hiyo kufutia ajali ya Kivuko cha Mv Nyerere
iliyotokea katika Ziwa Victoria Septemba 20,2018.Wakati wa Ibada ya jumapili
katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Paroko
msaidizi Padre Asis Mendonca mara baada ya kushiriki Ibada ya jumapili katika
Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018.
PICHA
NA IKULU.
No comments:
Post a Comment