Wafanyabiashara wa Utalii Zanzibar wakiwa katika maandalizi ya msimu huo kwa kuzifanyia ukarabati boti zinazotoa huduma ya usafiri katika Visiwa vya Historia ya Zanzibar, kama walivyokutwa wakiwa katika zoezi hilo la kuzifanyia ukarabati wa kupata rangi na kuzikalafati katika ufukwe wa pwani ya forodhani Zanzibar.
WAZIRI MAKAMBA-AFRICA50 WAJADALI NAMNA YA KUSHIRIKIANA KATIKA UTEKELEZAJI
WA MIRADI YA MAENDELEO
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January
Makamba (MP) akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Africa50, Bw. Alain
Ebobiss...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment