Wafanyabiashara wa Utalii Zanzibar wakiwa katika maandalizi ya msimu huo kwa kuzifanyia ukarabati boti zinazotoa huduma ya usafiri katika Visiwa vya Historia ya Zanzibar, kama walivyokutwa wakiwa katika zoezi hilo la kuzifanyia ukarabati wa kupata rangi na kuzikalafati katika ufukwe wa pwani ya forodhani Zanzibar.
Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la
mwaka
-
Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha
mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya
kukusanya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment