Wafanyabiashara wa Utalii Zanzibar wakiwa katika maandalizi ya msimu huo kwa kuzifanyia ukarabati boti zinazotoa huduma ya usafiri katika Visiwa vya Historia ya Zanzibar, kama walivyokutwa wakiwa katika zoezi hilo la kuzifanyia ukarabati wa kupata rangi na kuzikalafati katika ufukwe wa pwani ya forodhani Zanzibar.
SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU NCHINI
-
Na Mwandishi wetu -Dodoma
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu
(Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeendelea ...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment