Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu Akufungua Mdahalo wa Ushirikishwaji wa Vijana Katika Siasa Zanzibar.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi(Gavu)akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mdahalo ulioandaliwa na chama  cha Wanasheria Wanawake Zanzibar(ZAFELA)juu ya Ushirikishwaji wa Vijana katika siasa na ngazi za maamuzi uliofanyika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Unguja.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi(Gavu)akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mdahalo ulioandaliwa na chama  cha Wanasheria Wanawake Zanzibar(ZAFELA)juu ya Ushirikishwaji wa Vijana katika siasa na ngazi za maamuzi uliofanyika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Unguja.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Zanzibar(ZAFELA)Bi Safia Hijja Abrass akitoa hotuba ya makaribisho katika Mdahalo ulioandaliwa na chama hicho juu ya Ushirikishwaji wa Vijana katika siasa na ngazi za maamuzi uliofanyika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Unguja.
Baadhi ya masheha na Vijana waliohudhuria  katika Mdahalo ulioandaliwa na chama  cha Wanasheria Wanawake Zanzibar(ZAFELA)juu ya Ushirikishwaji wa Vijana katika siasa na ngazi za maamuzi uliofanyika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.