Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Juma Pembe akitowa maelezo Pili wa Rais wa Zanzibar kuhusiana na Kituo cha Elimu ya Amali kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balosi Seif Ali Iddi , alipotembelea Kituo cha Amali Vitongoji Kisiwani Pemba akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo mbalimbali ilioko Pemba.
Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment