Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Juma Pembe akitowa maelezo Pili wa Rais wa Zanzibar kuhusiana na Kituo cha Elimu ya Amali kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balosi Seif Ali Iddi , alipotembelea Kituo cha Amali Vitongoji Kisiwani Pemba akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo mbalimbali ilioko Pemba.
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment