Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Juma Pembe akitowa maelezo Pili wa Rais wa Zanzibar kuhusiana na Kituo cha Elimu ya Amali kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balosi Seif Ali Iddi , alipotembelea Kituo cha Amali Vitongoji Kisiwani Pemba akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo mbalimbali ilioko Pemba.
Puma Energy Tanzania Yadhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya Anga
Afrika 2025 uliofanyika Zanzibar
-
Puma Energy Tanzania imedhihirisha kujizatiti kwake katika kukuza sekta ya
usafiri wa anga nchini kwa kudhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya
A...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment